KUKUA KWA TEZI

(BENIGN PROSTATIC HYPERPLASIA)
Pia huitwa enlarged prostate
Prostate ni gland ndogo ambayo Husaidia kutengeneza majimaji (semen)
Prostate inapatikana eneo la chini ya kibofu cha mkojo (bladder)
🦠Huanza kukua kadri umri unavyokuwa mkubwa (get older)
🦠Tezi iliyotanuka husababisha dalili ambazo ni usumbufu kama vile:

DALILI ZINGINE ZINAZOFANANA NA ZA TEZI KUKUA (OTHERS)

Na yote hayo hutegemea mambo mbalimbali kama vile dalili, ukubwa wa tatizo, na mambo mengi ya kiafya.
TIBA ya uhakika inayotolewa na BF SUMA Ni kuhakikisha Tezi inatibika na kupona bila kufanyiwa upasuaji.

DALILI NYINGINE HUSABABISHWA NA MATUMIZI YA MADAWA

(MEDICATIONS)

NINI HUTOKEA

(WHATS HAPPENING)
Tezi dume iko eneo la chini ya kibofu (bladder)
Kuna Mirija (urethra) unaotoa mkojo kutoka kwenye kibofu kupitia uume (penis).
Hichi kimrija (urethra) kimepita katikati ya ya prostate
Wakati prostate inapokuwa kubwa husababisha kuzuia mkojo kupita kirahisi (block urine flow)

VIHATARISHI VYA TEZI DUME

(RISK FACTORS)
Umri (age) Kukua kwa tezi time hushamiei zaidi kuanzia umri wa miaka 40+.
Historia ya Familia (Family history) kuwa na ndugu wa damu wenye tatizo hili huwa ni moja ya kigezo.
Kisukari (diabetes) na Ugonjwa wa moyo ( hypertension )Huongeza uhatari wa BPH.

MADHARA YA TEZI DUME

(COMPLICATIONS)
Kushindwa kukojoa. (urinary retention )
UTI :Ukishindwa kutoa mkojo wote kwenye bladder unakaribisha Maambukizi kwenye Njia ya mkojo.
Uharibifu wa kibofu (bladder damaged) kibofu kisipomaliza mkojo kitatanuka na kuwa dhaifu (stretching and weaken)
matokeo yake kuta za misuli haziwezi kujikunja kuusukuma mkojo nje. na kufanya mkojo ubaki kwenye kibofu.
Mawe ya kwenye kibofu (Bladder stones) hili ni tatizo linalotokea a na kushindwa kumaliza mkojo wote kwenye kibofu.
Uharibu wa Figo ( kidney damage ):shinikizo ( pressure ) kubwa kwenye kibofu kwa kushindwa kuusukuma nje mkojo huaribu Figo au kibofu kupata Maambukizi yatakayofika kwenye Figo.

KUZUIA KUPATA TEZI DUME

✅ Jenga Tabia ya kuimarisha afya (Healthy habits) kwa kufanya mazoezi (regular exercise)
✅ Kula mboga mboga na matunda (eating vegetables and fruits)
✅kuwa Makini na vyakula vyenye Mafuta mengi ( keeping an eye on dietary fat)
✅ zitakusaidia kupunguza hatari ya kupata BPH na kupunguza hatari ya kipungukiwa nguvu za kiume (erectile dysfunction, diabetes and heart diseases)